Advertisement

  • TOP STORIES

    Mahusiano: Mambo ya kuzingatia hasa kwa wale vijana ambao bado hawajaoa


    MAHUSIANO

    Mambo ya kuzingatia wakati wa mahusiano ni kuishi maisha matakatifu; Mahusiano yakiwa mabaya uharibu uchumba hadi ndoa

    Sifa za mke mwema (mith31:10-31)
    Huaminiwa na moyo wa mumewe
    Hufanya juhudi kutafuta mapato hata ayapate
    Huwaza mema kwa mumewe
    Mwangalizi/mhudumu wa familia
    Huamka asubuhi na mapema
    Mtafiti wa njia za mapato
    Anajiamini kwa vyote alivyonavyo
    Mtoaji, mpole, mtulivu
    Mtii kwa mumewe
    Humfanya mumewe ajulikane
    Ana hekima, wema
    Mlinzi wa familia
    Hufurahiwa na mumewe na wanawe
    Adabu nzuri, mavazi ya kujistiri ndy mapambo yake (1tim2:9)
    Ni mkamilishaji wa ndoto za mwanamume (mith18;22, 14:19, 19:14)
    Kwaajili ya mke, mume hupata kibali

    Sifa za mume
    Kichwa cha familia
    Mwekaji wa dira/mwelekeo
    Mlinzi wa familia yake
    Mtafutaji wa mahitaji yote ya nyumbani (vitu vyote vya thamani na samani)
    Msimamizi wa mipango ya familia

    Hakuna maoni